Waafrika na Wayahudi waimarisha uhusiano jimboni New South Wales

Baadhi ya viongozi wajamii yawaafrika na wayahudi katika mkutano maalum

Baadhi ya viongozi wajamii yawaafrika na wayahudi katika mkutano maalum Source: SBS Swahili

Mashirika ya African Australian Advocacy Centre na NSW Jewish Board of Deputies, yali andaa mkutano maalum ambako wanachama wa jamii hizo wali jadili maswala mengi.


Mkutano huo ulikuwa fursa wa jamii zote mbili, kujadili baadhi ya uzoefu ambao jamii hizo zinachangia iwapo ni ubaguzi wa rangi, ukosefu wa fursa na kadhalika.

Baadhi ya wadau walio hudhuria mkutano huo wali changia maoni yao na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, kuhusu waliyo jadili nakujifunza kutoka washiriki wenzao.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.

 


Share