Wafanyakazi wako tayari kuwasili Australia kujaza mapengo ya ajira

Home Affairs Minister Clare O’Neil.jpg

Home Affairs Minister Clare O’Neil.

Serikali ya shirikisho imesema ita harakisha ujio wa wafanyakazi kutoka visiwa vya Pasifiki nchini Australia, kwa ajili yaku shughulikia uhaba mkubwa wa wafanyakazi katika sekta ya kilimo.


Ni sehemu ya mipango ya chama cha Labor kufanyia mageuzi mradi wa uhamiaji ambao, utahusu pia wanafunzi wakimataifa wakipewa haki yakubaki nchini nakufanya kazi baada yakuhitimu.

Waziri wa Kilimo Murray Watt, alieleza shirika la habari la Sky kwamba, kuharakisho mchakato wakuwasili kwao ni kipaumbele.

Hakuna shaka wiki ijayo, inatarajiwa kuwa ngumu katika eneo la Capital Hill.

Share