Wangeci "nilikuwa mkali sana katika mawasiliano yetu ya kwanza"

Bw Levi na Eunice Kones ndani ya Studio ya SBS Swahili.jpg

Je, unakumbuka ulipo mwona mpenzi wako mara ya kwanza? alikupokea ulivyo tarajia, au ilibidi uboreshe mstari yako kabla ujaribu tena?


Wanandoa Levi na Wangeci Kones wamefunguka kuhusu ndoa yao, pamoja na walivyo kutana na pandashuka ambazo Bw Levi alipitia kabla maombi yake yajibiwe na Bi Wangeci.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share