Yemba Fashion "nimezaliwa namapenzi yakuvaa vizuri, na tofauti na wengine"

Yemba Fashion atua katika fainali ya Kombe la Afrika, mjini Adelaide, Australia.

Wanaume wengi kutoka DR Congo wanajulikana kwa mavazi yao yanayo vutia.


Yemba Fashion ni mkaaji wa Adelaide, Kusini Australia ambaye ni mwana mitindo na mjasiriamali anaye fanya biashara yaku uza mavazi yakipekee jimboni humo.

Yemba Fashion atua katika fainali ya Kombe la Afrika, mjini Adelaide, Australia.
Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bw Yemba alifunguka alivyo vutiwa na aina ya mavazi ambayo yeye huvaa, pamoja na mapokezi ya wanajumuiya wenza kwa jinsi anavyo tupia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share