Adam Bandt akubali kushindwa, asema chama cha Greens kili feli ku kwea mlima Everest

ELECTION25 GREENS ADAM BANDT VOTE

Greens leader Adam Bandt is seen casting his vote at an early voting centre in Melbourne, Friday, May 2, 2025. (AAP Image/Diego Fedele) NO ARCHIVING Source: AAP / DIEGO FEDELE/AAPIMAGE

Adam Bandt amekubali ameshindwa nakupoteza kiti chake cha Melbourne bungeni, katika matokeo ambayo yame acha chama cha Greens bila kiongozi.


Alimaliza wa kwanza katika hesabu za kura za kwanza ila, kura za upendeleo zili enda dhidi yake.

Sarah Witty amerejesha kiti hicho cha ubunge, kwa chama cha Labor baada ya miaka 15.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share