Afrika Kusini ya adhimisha mwisho wa kumbukumbu ya apartheid wakati wa ongezeko ya kutoridhika nchini humo

APTOPIX Johannesburg Water Crisis

Residents of the township of Soweto, South Africa, queue for water Saturday, March 16, 2024. Thousands of South Africans are lining up for water as the country's largest city, Johannesburg, confronts an unprecedented collapse of its water system affecting millions of people. Residents rich and poor have never seen a shortage of this severity. (AP Photo/Jerome Delay) Credit: AP

Africa Kusini ina adhimisha miaka 30 tangu uchaguzi wakwanza wayo waki demokrasia ambapo kila raia wa Afrika Kusini aliweza piga kura.


Ila wakati uchaguzi mwingine unakaribia na raia wengi wa Afrika Kusini wana pitia wakati mgumu kumudu gharama za maisha, maswali yana ulizwa kuhusu maendeleo ya nchi hiyo tangu kura ya kwanza ya 1994.


Share