David afunguka kuhusu manufaa ya kuwa mwanachama wa Men's Cave Forum

Bw David Kamande Mwenyekiti wa Men's Cave Forum.jpg

Mwenyekiti wa Men's Cave Forum Bw David Kamande aki wahotubia wanachama wake.

Get the SBS Audio app

Other ways to listen


Published

Updated

By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS

Share this with family and friends


Wanaume wenye asili ya Kenya katika jimbo la Victoria, wali anzisha kundi kwa jina la Men's Cave Forum, ambalo hutumiwa kushughulikia maswala mbali mbali yanayo wakumba wanachama wake.


Katika mahojiano maalum na mwenyekiti wa kundi hilo Bw David Kamande, ali eleza SBS Swahili manufaa yakuwa mwanachama wa kundi hilo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share