Waathiriwa walioigwa mara nyingi hukabiliwa na matokeo mabaya, yanayo jumuisha hasara zakifedha, uharibifu wa alama zao za mkopo pamoja na athari zakisheria.
Ila kuna hatua unaweza chukua, kupunguza hatari ya taarifa zako binafsi kuibiwa au kutumiwa vibaya.