Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki

At least 32 dead after flash floods in Kenya

People gather at an area flooded by the Gitathuru river water, a day after it overflowed and broke its banks due to heavy rainfall damaging surrounding neighborhoods, in the Mathare slums, Nairobi, Kenya, 25 April 2024. Source: EPA / Daniel Irungu/EPA/AAP Image

Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.


Idadi mpya ya vifo kupitia mvua nzito na mafuriko tangu mwezi ulio pita, imefika watu 140 wakati maelfu zaidi wame hamishwa na mafuriko katika nchi zingine za Afrika Mashariki.

Msemaji kutoka serikali ya Kenya amekana madai kuwa mamia ya watu wamefariki na amesema takwimu rasmi ya vifo kufikia Jumamosi 27 Aprili 2024 ilikuwa watu 76.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share