Sababu yao kufika viwanjani ilikuwa kuwapa moyo timu yao, iliyokuwa ikishiriki katika kombe la Afrika, baada ya miaka mingi kuwa jangwani.

Vijana wa timu ya soka ya Kenya, washerehekea goli katika kombe la Afrika, jijini Sydney, Australia Source: SBS Swahili
Published
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Share this with family and friends
Jamii yawakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW, Australia, katika siku chache zilizo pita wamekuwa wakifika viwanjani kwa kishindo.
Share