Sehemu kubwa ya baraza la mawaziri limesalia lilivyo kuwa.. pamoja na Richard Marles kusalia katika wizara ya Ulinzi na Naibu Waziri Mkuu, Jim Chalmers ata endelea kuwa mweka hazina, wakati Penny Wong ata endelea kuwa waziri wa mambo ya nje.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.