Wiki jana mahakama iliamuru kusitishwa kwa mgomo huo na kutaka mazungumzo yafanyike, lakini KMPDU ilitangaza kwamba itaendeleza hatua yake.
Madaktari hao wanapinga hasa uamuzi wa serikali unaolenga, kupunguza mishahara ya wahudumu wa afya na kurudisha nyuma umri wa kustahiki haki za kustaafu.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.