Ni mbinu ipi bora ya kutokomeza ukeketaji

The World Health Organization says the practice constitutes an "extreme form of discrimination" against women.

The World Health Organization says the practice constitutes an "extreme form of discrimination" against women. Source: AAP

Mashirika mbali mbali yana endelea kuongeza juhudi kutokomeza ukeketaji, pamoja nakutoa elimu kwa umma kuhusu jambo hilo.


Bi Saada hutoa elimu kwa jamii mjini Sydney, New South Wales. Katika mahojiano maalum kuhusu hoja hii, alifunguka kuhusu mbinu za kutokomeza ukeketaji.

Bonyeza hapo kwa mahojiano kamili.

Share