Ila ni muhimu kujua chakufanya, kwa sababu baadhi ya matukio hayo yanaweza kuwa tisho kwa maisha.
Kama tahadhari kwa kesi zote zaku umwa na nyoka, unastahili piga simu kwa namba ya dharura mara moja: 000 iwapo hali itageuka nakuwa dharura.
SBS World News