Patrick 'nimuhimu kwa wakimbizi kuja Australia wakiwa na leseni yakuendesha gari'

Refugees welcome

A sign welcoming the Syrian migrants in Madrid, Spain. Source: Moment RF / Photography taken by Mario Gutié/Getty Images

Maadhimisho ya wiki yawakimbizi yalifanyika kote nchini Australia.


Patrick ni kijana aliye kuja Australia kwa msaada wa shirika la Umoja wa Mataifa linalo wahudumia wakimbizi nchini Kenya.

Katika mazungumzo na SBS Swahili, Bw Patrick alinguka kuhusu uzoefu wake alipo kuwa mkimbizi hadi alipo wasili nchini Australia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share