Kilichojiri baada ya vuguvugu za kugombea uongozi

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton awasili bungeni

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton awasili bungeni Source: AAP

Get the SBS Audio app

Other ways to listen


Published

Updated

By James Elton-Pym
Presented by Gode Migerano
Source: SBS


Share this with family and friends


Baada ya matukio ya wiki jana yaliyojumuisha mvutano katika uongozi wa taifa, baraza jipya la mawaziri la Scott Morrison linajaribu kuunganisha serikali, ambayo ilikuwa imevunjwa na tofauti ndani yake.


Wakati huo huo pia serikali inajaribu kukarabati, sehemu ya sera zake muhimu kama nishati. Ila mivutano ya wiki iliyopita imeingia katika wiki ya kwanza ya serikali mpya.

Katika taarifa zingine, Scott Morrison ameondoka nchini, akielekea Indonesia kwa ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama waziri mkuu.

Anatarajia kurejea nchini akiwa na makubaliano ya biashara huru yaliyoahidiwa kwa muda mrefu, pamoja na fursa yakuwasilisha ajenda hiyo bunge litakapofanya kikao tena baada ya wiki moja.

 


Share