Bw Turnbull alitumia kisa cha kushindwa kwa mara 30 mtawalio katika kura za maoni za Newspoll, kumwondoa mtangulizi wake Tony Abbott madarakani mwaka wa 2015.

Prime minister Malcolm Turnbull Source: AAP
Published
Updated
By Myles Morgan
Presented by SBS Swahili, Gode Migerano
Source: SBS
Share this with family and friends
Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amesisitiza kuwa bado ana ungwa mkono na chama chake baada yakushindwa kwa mara ya 30 mtawalio katika kura ya maoni ya Newspoll, ambayo ili baini kuwa umma unapendelea chama cha Labor katika uongozi.
Share