Turnbull akwepa maswali kuhusu chama cha mseto, baada yakupoteza kura ya maoni ya 30 ya Newspoll

Prime minister Malcolm Turnbull

Prime minister Malcolm Turnbull Source: AAP

Get the SBS Audio app

Other ways to listen


Published

Updated

By Myles Morgan
Presented by SBS Swahili, Gode Migerano
Source: SBS


Share this with family and friends


Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amesisitiza kuwa bado ana ungwa mkono na chama chake baada yakushindwa kwa mara ya 30 mtawalio katika kura ya maoni ya Newspoll, ambayo ili baini kuwa umma unapendelea chama cha Labor katika uongozi.


Bw Turnbull alitumia kisa cha kushindwa kwa mara 30 mtawalio katika kura za maoni za Newspoll, kumwondoa mtangulizi wake Tony Abbott madarakani mwaka wa 2015.

Ila Bw Turnbull amesema, hatakama ana juta kutumia matokeo ya kura ya maoni ya Newspoll kama sababu yaku mwondoa madarakani mtangulizi wake, Bw Turnbull amesema kuwa anaendelea kuwa na matokeo bora kazini kuliko Tony Abbott katika njia tofauti.


Share