Vincent afunguka kuhusu sekta ya ucheshi Australia

Bango la Vincent Tshaka na wacheshi wenza

Idadi ya wacheshi wenye asili ya Afrika ina endelea kuongezeka nchini Australia.


Vincent Tshaka ni mcheshi mwenye asili ya Kenya na yuko katika mstari wa mbele, wa wacheshi wanao endelea kupata umaarufu nakufanya vizuri katika tasnia hiyo yenye ushindani mkubwa.

Katika mahojiano na SBS Swahili, alifunguka kuhusu tamasha anayo andaa itakayo wajumuisha wacheshi kutoka tamaduni mbali mbali.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share