Vital Kamerhe achaguliwa kuwa spika mpya wa bunge la DRC

Democratic Republic of Congo politician Vital Kamerhe.

Democratic Republic of Congo politician Vital Kamerhe. Source: AFP

Wabunge wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamemchagua Vital Kamerhe, ambaye nyumba yake ilishambuliwa siku ya Jumapili, kuwa spika mpya.


Hatua hiyo ni muhimu kuelekea kuweka serikali miezi mitano baada ya uchaguzi wa rais.

Mandishi wetu Jason Nyakundi ame andaa taarifa maalum kuhusu uchaguzi huo pamoja na maswala mengine muhimu kutoka Afrika.

Bonyeza hapo juu kwa taarima kamili.

Share