"Marehemu Moi aliongoza Kenya kwa utaratibu hadi ikarejelea mfumo wa vyama vingi vya kisiasa na pia kupitia changamoto nyingi hadi pale alipopokeza mamlaka kwa mrithi wake kwa njia ya amani mnamo mwaka wa 2002," alisema Kenyatta.

Wakenya waomboleza kifo cha rais mstaafu Daniel Arap Moi Source: Getty Images
Published
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Share this with family and friends
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametangaza maombolezo ya kitaifa baada ya kufariki rais wa pili wa nchi hiyo, Daniel Arap Moi.
Share