Ssaru "Mwanzoni familia hawakutaka tuwe wasanii"

Tipys Gee, Ssaru na Sean MMG ndani ya studio ya SBS AUDIO, Sydney, Australia.JPG

Get the SBS Audio app

Other ways to listen


Published 3 April 2025 8:42am
Updated 3 April 2025 5:59pm
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS

Share this with family and friends


Kila kukicha sekta ya sanaa nchini Kenya, huwakaribisha wasanii wapya.


Baadhi ya wasanii hao wame pata umaarufu mkubwa, wakati wengine huvuma ghafla na nyota zao kuzimika ghafla pia.

Wasanii Tipsy Gee, Ssaru na Sean MMG kutoka Kenya, walitembelea studio za SBS Swahili hivi karibuni ambako wali funguka kuhusu walivyo ingia katika sekta hiyo, mafanikio pamoja na changamoto wanazo kabiliana nazo kuanzia nyumbani hadi katika soko la muziki.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share