Matt Gitau "wakati wakuongoza kulingana na katiba na matumaini yawa Kenya umefika"

Rais Rutto na Raila Odinga wakiwa pamoja na washirika wao, katika hafla ya kutia saini makubaliano ya kuchangia uongozi.jpg

Wakenya wana endelea kukabiliana na uongozi mpya wa mseto kati ya serikali ya Kenya Kwanza na chama kikuu cha upinzani cha Orange Democratic Movement (ODM).


Vinara wa mseto huo Dkt William S Rutto na Raila Odinga, walitia saini makubaliano ya ushirikiano katika uongozi wa nchi hiyo ndani ya ukumbi wa KICC.

SBS Swahili ilizungumza na Bw Matt Gitau, mgombea mtarajiwa katika uchaguzi mkuu ujao wa 2027 nchini Kenya. Katika mazungumzo hayo alifunguka kuhusu baadhi ya maswala yauongozi ambayo yeye na wananchi wenzake wanataka yafanyiwe kazi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share