Fiedel Future ni mwenyekiti wa jumuiya yawa Australia, wenye asili ya DR Congo wanao ishi Queensland.
Katika mazungumzo na SBS Swahili, alifunguka kuhusu lengo laku andaa maandamano hayo pamoja na matarajio yake kwa harakati hiyo.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.