Bw Mark Tony ni mmoja wa waandalizi wa tamasha hiyo, katika mahojiano na SBS Swahili alifunguka kuhusu umuhimu na lengo la tamasha hiyo kwa wanajumuiya wenza.
Bw Mark ali zungumzia pia matukio kadhaa ambayo, watakao hudhuria tamasha hiyo wanastahili tazamia.
Bonyeza hapo juu, kwa mahojiano kamili.